Maswali ya Mara kwa Mara (FAQ)

Hapa utapata majibu ya maswali yanayoulizwa sana kuhusu huduma za Fasta Online

Je, Fasta Online hutoa huduma zipi?

Tunatoa huduma mbalimbali kama maombi ya NIDA, vyeti vya kuzaliwa, TIN number, CV guide, updates za ajira, internships, na zaidi.

Ninawezaje kuomba huduma?

Tembelea ukurasa wa huduma, chagua huduma unayotaka na bonyeza button ya "Omba Huduma". Utapelekwa kwenye fomu ya kujaza taarifa zako.

Huduma zinalipiwa?

Baadhi ya huduma ni bure (kama updates za ajira), lakini huduma maalum kama kuandaa CV, maombi ya cheti au leseni zinahitaji malipo kidogo kulingana na aina ya huduma.

Je, nitalipaje huduma?

Tunapokea malipo kwa njia ya simu (M-Pesa, Tigo Pesa, Airtel Money). Maelezo ya malipo yatatumwa mara baada ya kujaza fomu yako.

Huduma zenu zinapatikana nchi nzima?

Ndio! Huduma zetu zinatolewa mtandaoni hivyo mteja yeyote ndani au nje ya Tanzania anaweza kuwasiliana nasi na kupata huduma.

Naweza kuangalia matokeo ya NECTA kupitia Fasta Online?

Ndio! Tunakuwezesha kuangalia matokeo ya:

Unaweza kutumia namba yako ya mtihani na mwaka husika kupata matokeo yako moja kwa moja.

Ninawezaje kuhakiki udahili wangu wa chuo?

Tunatoa huduma ya kuhakiki udahili kwa:

Weka namba yako ya TCU au namba ya udahili kuangalia status yako.

Kuna msaada wa ziada kwa wanafunzi?

Tunawapa wanafunzi:

Je, naweza kupata msaada wa maombi ya vyuo?

Ndio, tunasaidia katika:

Muda wa kupata huduma ni upi?

Muda hutofautiana kulingana na huduma:

Kwa huduma za haraka, wasiliana nasi moja kwa moja kupitia WhatsApp.

Gharama za huduma ni zipi?

Bei zetu ni nafuu na zinategemeana na huduma:

Malipo yote yanafanyika kupitia simu: M-Pesa, Tigo Pesa, na Airtel Money.