Habari na Matangazo

Karibu upate taarifa mpya kutoka Fasta Online

Nafasi mpya za kazi TAMISEMI - Deadline: 30/04/2025
Internship opportunities kwa wahitimu wa afya
Business Plan templates mpya zinapatikana
Ajira mpya serikalini - Maombi yanaendelea
Active Government Jobs

Nafasi Mpya za Kazi za Serikali

📅 Posted: 15 Aprili 2025
Expires: 30 Aprili 2025
Nafasi: 300+

Tumepata nafasi zaidi ya 300 za kazi kutoka TAMISEMI na UTUMISHI. Angalia sifa na jinsi ya kutuma maombi.

Soma zaidi
Active Health Internships

Internship za kulipwa kwa wahitimu wa Afya

📅 Posted: 13 Aprili 2025
Expires: 28 Aprili 2025
Nafasi: 150

Tunawasiliana na vituo mbalimbali vya afya kutoa internship za kulipwa kwa wahitimu wa mwaka wa mwisho. Jiandikishe sasa.

Soma zaidi
Active Business Plan

Huduma Mpya: Kuandaa Business Plan

📅 Posted: 10 Aprili 2025
Ongoing Service

Fasta Online sasa inakusaidia kuandaa business plan kwa ajili ya mikopo ya vijana na wanawake. Tunaandaa business plan zenye ubora wa hali ya juu kwa bei nafuu.

Soma zaidi
Active Accountant Position

MHASIBU DARAJA LA II (ACCOUNTANT II) - Posts: 20

MDAs & LGAs
Deadline: 11 Mei 2025
Nafasi: 20

Majukumu ya Kazi:

  • Kuandika taarifa ya mapato na matumizi
  • Kuandika taarifa za maduhuli
  • Kupokea maduhuli ya serikali na kupeleka Benki kwa wakati
  • Kufanya usuluhisho wa hesabu za Benki
  • Kukagua hati za malipo

Sifa za Mwombaji:

  • Shahada ya Uhasibu/Biashara AU Stashahada ya juu ya Uhasibu
  • Cheti cha CPA(T) au sifa inayolingana kutoka NBAA
  • Wahitimu wa Kidato cha Sita

Mshahara: TGS.E

Omba Sasa
Mpya 2 May 2025

Mikopo ya Wanafunzi wa Stashahada (Dirisha la Machi 2025)

Wanafunzi 873 wamepangiwa mikopo yenye thamani ya TZS 1,944,922,500.00

  • Chakula na Malazi (MA): TZS 1,519,788,750.00
  • Ada ya Mafunzo (TU): TZS 408,433,750.00
  • Vitabu na viandikwa (BS): TZS 16,700,000.00

Wanafunzi walioomba mikopo wanashauriwa kuangalia taarifa zao kupitia akaunti za SIPA na kujisajili kwenye mfumo wa malipo wa kidigitali (DiDis) kupitia Maafisa Mikopo wa vyuo.

  • Dirisha la Machi: 15 Januari 2025 - 15 Februari 2025
  • Hadi 02 Mei 2025, jumla ya wanafunzi 8,438 wamenufaika na mikopo ya TZS 22,072,267,601.00 (2024/2025)

Imetolewa na: Mkurugenzi Mtendaji

Muhimu 7 May 2025

Matokeo ya Usaili - Chuo Kikuu Huria cha Tanzania

MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA CHUO KIKUU HURIA CHA TANZANIA ULIOFANYIKA TAREHE 07/05/2025

Wasailiwa wote waliochaguliwa kuendelea na hatua zinazofuata wanatakiwa kuzingatia muda na eneo la kufanyia usaili.

  • Wasailiwa wote wanakumbushwa kufika na vyeti vyao halisi (Original Certificates) pamoja na kitambulisho.
Pakua Majina (PDF)
Muhimu 6 May 2025

Taarifa Muhimu: Usahihishaji wa Taarifa za Waombaji

Waombaji Wanatakiwa Kuhuisha Taarifa

  • Kuweka namba ya NIDA kwenye "Personal Details"
  • Kuhuisha taarifa za "Academic Qualification"
  • Kuweka kozi katika Category husika
Pakua PDF
Mpya 5 May 2025

Majina ya Mafunzo - Jeshi la Zimamoto 2025

Mahali: Chogo - Handeni, Tanga

Kuripoti: 16 - 18 Mei, 2025

Soma Zaidi
Mpya 4 May 2025

Nafasi 6 za Kazi GST - Assistant Technician

Geological Survey of Tanzania (GST) inatangaza nafasi 6 za Assistant Technician (Mineral Laboratory)

Deadline: 14 Mei 2025

Soma Zaidi
Mpya 3 May 2025

Nafasi za Kuandikishwa Jeshini - JWTZ

Nafasi za ajira kwa wenye elimu ya Form IV hadi PhD

Deadline: 14 Mei 2025

Soma Zaidi