Fasta Online

Tunakusaidia kupata huduma bora za kiserikali na binafsi kwa urahisi na haraka.

5000+
Wateja Waliosaidika
10+
Huduma Tofauti
98%
Wateja Walioridhika
24/7
Huduma za Msaada

Dhamira Yetu

Kurahisisha upatikanaji wa huduma za kiserikali na binafsi kwa wananchi wa Tanzania kupitia jukwaa letu la kidijitali, huku tukidumisha viwango vya juu vya ubora na uaminifu.

Maono Yetu

Kuwa kituo kikuu cha huduma za kiserikali na binafsi kinachoaminika zaidi Tanzania, tukichangia katika kuleta mapinduzi ya kidijitali katika utoaji huduma.

Huduma Zetu

Huduma za NIDA

Usaidizi katika maombi ya vitambulisho vya Taifa, uhakiki wa taarifa, na huduma nyingine za NIDA.

Huduma za RITA

Usajili wa vizazi, vifo, ndoa, na talaka, pamoja na upatikanaji wa vyeti husika.

Ajira

Taarifa za nafasi za kazi serikalini na sekta binafsi, pamoja na ushauri wa kitaaluma.