NIDA (National Identification Authority) ni taasisi ya serikali ya Tanzania iliyoanzishwa rasmi mwaka 2008 kwa lengo la kusimamia usajili na utambuzi wa watu nchini. Majukumu yake ni pamoja na:
Kwa njia ya mtandao kupitia eonline.nida.go.tz au kwa njia ya kawaida katika ofisi za NIDA.
Huduma hii ilianza kwa Watanzania waishio Marekani na inaendelea kupanuliwa kwa nchi nyingine.
Kama majina, tarehe ya kuzaliwa, au taarifa nyinginezo.
Kwa waliopoteza au kuharibikiwa na kitambulisho.
Kama taasisi za kifedha, waajiri, na mashirika mengine yanayohitaji kuhakiki taarifa za wateja wao.
Kupata Namba ya Utambulisho wa Taifa (NIN), kufuatilia hali ya maombi, kujisajili kimtandao, kuhakiki taarifa, na kupata namba ya malipo ya serikali.
NIDA ina ofisi katika wilaya zote za Tanzania Bara na Zanzibar. Kwa Dar es Salaam, ofisi ziko katika maeneo yafuatayo:
Kawe - Karibu na viwanja vya Tanganyika Packers.
Gezaulole - Jengo la ofisi ya Mkuu wa Wilaya Kigamboni.
Usalama - Karibu na kituo cha Polisi Chang'ombe.
Ukonga - Mombasa, karibu na gereza la Ukonga.
Kibamba - Jengo la ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Ubungo.
Simu: +255 673 333 444 / 0800 758 888 (bure) / +255 22 266 4168
Barua pepe: info@nida.go.tz
Anuani: S.L.P 12324, Dar es Salaam, Tanzania
Tuma Ombi LakoSisi ni wakala rasmi wa kusaidia kupata huduma za NIDA kwa urahisi na haraka. Tunaweza kukusaidia katika usajili, marekebisho ya taarifa, ufuatiliaji wa maombi, na huduma nyingine zote za NIDA. Wasiliana nasi leo kwa huduma ya kitaalamu na ya kuaminika!
Wasiliana Nasi Leo